Good work Tuju and Uhuru

Okiya

Elder Lister
Isaac Mwaura out!

There must be sanity in the party.

You may disagree but you don't disrespect the party leader/officials


E1GY9kFXoAEvIXz.jpeg
 
Waende!

If you don't want to work with us, go, enda kabisa . Go get a nomination elsewhere. If you feel you don't belong to the house, walk. Tembeza taratibu bila cat walk!

What's stopping watu wa Tanga Tanga from walking the talk. Si watembee! If they have the numbers tukutane Kwa debe! Resign!

Absolutely Bure Kabisa (ABS). Cenji!

Iko swari?
 
You may disagree but you don't disrespect the party leader/officials
Sasa hapa ndio shida ya Mkenya huwa. Hata ukiwa na fikira zinazotofautiana na hawa fake leaders, wanaona unawapinga na lazima wakutie "adhabu". Hakuna nafasi ya kujadili mienendo/mwelekeo/mawazo kikamilifu ili kuipata mwelekeo unaofaa.

Hakuna maendeleo nchii hii itawahi ona kama huu ndio msimamo wa kufukuza watu wenye mtazamo tofauti.
 
Sasa hapa ndio shida ya Mkenya huwa. Hata ukiwa na fikira zinazotofautiana na hawa fake leaders, wanaona unawapinga na lazima wakutie "adhabu". Hakuna nafasi ya kujadili mienendo/mwelekeo/mawazo kikamilifu ili kuipata mwelekeo unaofaa.

Hakuna maendeleo nchii hii itawahi ona kama huu ndio msimamo wa kufukuza watu wenye mtazamo tofauti.

Imagine if Uhuru nominated someone to be an ambassador but instead that person ends up kupigia nchi ingine debe. Si lazima afutwe?

Same case with Isaac Mwaura. He is a nominated MP. Adhabu lazima.

 
Waende!

If you don't want to work with us, go, enda kabisa . Go get a nomination elsewhere. If you feel you don't belong to the house, walk. Tembeza taratibu bila cat walk!

What's stopping watu wa Tanga Tanga from walking the talk. Si watembee! If they have the numbers tukutane Kwa debe! Resign!

Absolutely Bure Kabisa (ABS). Cenji!

Iko swari?
People like complaining of hunger with mouth full of food.
 
Back
Top