Msedes lazima mutasimama

4EE0F80D-7AF2-497B-92A8-679F34325ADB.jpeg
 
Wakora wali haribu kikopey siku hizi huwa sisimami hapo kula kachoma. Choma ingine mzuri iko hapo maragwa kwa makuti club nimesahau jina shida hawajui kupika ugali.

Even in Nairobi I check first kama mtu wa kupika ugali ni Mlunje ama Jaruo in a Choma Zone.
Hakuna kitu mbaya kama choma safi halafu una pewa ugali mbichi
 
Back
Top