That dumpsite should survive for the sake of harmony in the sanate, tunaweza pata taabu sana.Khocha mmechoma county assembly?
That dumpsite should survive for the sake of harmony in the sanate, tunaweza pata taabu sana.
Kijana yako Hamilton amemaliza 7th huko F1
Am confused.Najua ustadh kama mimi nafaa kuwa naongea kuhusu mambo kubwa kubwa kama msito Trump ama Lebron James lakini jaber ameenda soko leo akaniambia bei ya ndimu imepanda kupindukia. Ndimu MOJA sahii ni 40bob!!!!!!...Na ginger!!!! Ata usiongee...
Billionaires waliambiwa hiyo ndio dawa ya covid wakamalisa sisi hustlers.
Najua ustadh kama mimi nafaa kuwa naongea kuhusu mambo kubwa kubwa kama msito Trump ama Lebron James lakini jaber ameenda soko leo akaniambia bei ya ndimu imepanda kupindukia. Ndimu MOJA sahii ni 40bob!!!!!!...Na ginger!!!! Ata usiongee...
Billionaires waliambiwa hiyo ndio dawa ya covid wakamalisa sisi hustlers.
Niaje Ango uwesmakende?lemon iko swafi , niliambia bibi maji ya kunywa lazima aniletee ya lemon baridi