Billionaires tamalisa sisi. Ndimu na Ginger

Najua ustadh kama mimi nafaa kuwa naongea kuhusu mambo kubwa kubwa kama msito Trump ama Lebron James lakini jaber ameenda soko leo akaniambia bei ya ndimu imepanda kupindukia. Ndimu MOJA sahii ni 40bob!!!!!!...Na ginger!!!! Ata usiongee...

Billionaires waliambiwa hiyo ndio dawa ya covid wakamalisa sisi hustlers.
Am confused.
Haber is supposed tone Miraa/ muguka/khat, right?
But heneway, what you're calling an increase is actually Poverty Tax.
 
Najua ustadh kama mimi nafaa kuwa naongea kuhusu mambo kubwa kubwa kama msito Trump ama Lebron James lakini jaber ameenda soko leo akaniambia bei ya ndimu imepanda kupindukia. Ndimu MOJA sahii ni 40bob!!!!!!...Na ginger!!!! Ata usiongee...

Billionaires waliambiwa hiyo ndio dawa ya covid wakamalisa sisi hustlers.


Use lime.
 
Back
Top