Mutura ya 800/-

mzeiya

Elder Lister
Ni nini mbaya na watu?

Mutura ikipita 10/- a piece labda iwe imeundwa from Wagyu Beef. So shock on the Village mutura connoisseur kuona ati Ankole Grill in Kilimani is selling the sweet stuff for almost a K.

Thao.

Ngiri.

Mti.

Aki ya nani we are losing our culture and norms.

Wewe ebu angalia hii sahani na uniambie kama unaweza lipa zaidi ya soo moja kusema ukweli.
1627662182562.png

Alafu kuongeza pilipili kwa hii issue ni eti this is very ordinary mutura with basic fillings and the key ingredients of darkness, smoke and kauchafu kidogo seem to be absent.

Mimi inaniaffect kusema ukweli especially considering the tough economic times we are in.

I will send them a proposal that the turwa itself should be at most 70/- as illustrated;
1627662321916.png


Hatutaki madoido mob. Wakae na sahani yao tutakula na mkono na pia hiyo sauce watumie kwa dish zao zingine.

Anyone with contacts for the Weights And Measures Department?
 

Sucess

New Lister
Ni nini mbaya na watu?

Mutura ikipita 10/- a piece labda iwe imeundwa from Wagyu Beef. So shock on the Village mutura connoisseur kuona ati Ankole Grill in Kilimani is selling the sweet stuff for almost a K.

Thao.

Ngiri.

Mti.

Aki ya nani we are losing our culture and norms.

Wewe ebu angalia hii sahani na uniambie kama unaweza lipa zaidi ya soo moja kusema ukweli.
View attachment 40573
Alafu kuongeza pilipili kwa hii issue ni eti this is very ordinary mutura with basic fillings and the key ingredients of darkness, smoke and kauchafu kidogo seem to be absent.

Mimi inaniaffect kusema ukweli especially considering the tough economic times we are in.

I will send them a proposal that the turwa itself should be at most 70/- as illustrated;
View attachment 40574

Hatutaki madoido mob. Wakae na sahani yao tutakula na mkono na pia hiyo sauce watumie kwa dish zao zingine.

Anyone with contacts for the Weights And Measures Department?
Kuna tu wale bado watainunua.
 

Kender9

Elder Lister
I'm actually very frugal with my spending. The only thing I never calculate much is when providing for the fam and travel.
Otherwise, best bargain lazima
But usiwe kama "The Black widow of Icaweri" who negotiates even the price of tomatoes, saying that she's a widow who needs to be assisted, at the local Icaweri market to the extent that when the vendors see her motorcade they leave their groceries and hide till she's gone.
 
Last edited:
Top