Doc oga
Elder Lister
Kuna wengine Nakuru wameweka viazi kwa buckets but hizo ndoo zimewekwa kifuniko ndani to act as a false base so viazi ni nusu ndoo na unawekewa haraka sana usichanuke.hehe hapo basi wao hugonga watu wa Nairobi sana...
Kuna wengine Nakuru wameweka viazi kwa buckets but hizo ndoo zimewekwa kifuniko ndani to act as a false base so viazi ni nusu ndoo na unawekewa haraka sana usichanuke.hehe hapo basi wao hugonga watu wa Nairobi sana...
Wacha kifuniko, kuna venye wao huzipanga, zinashikana mid-bucket, ukitingisha bucket ama utoe kwa bucket moja moja, inabomoka na ndani. Wanapenda watu wa "my car" wale hawatokagi kwa gari wagongwe. Wanainamisha bucket kwa kuweka kwa gunia pap, owes jua.Kuna wengine Nakuru wameweka viazi kwa buckets but hizo ndoo zimewekwa kifuniko ndani to act as a false base so viazi ni nusu ndoo na unawekewa haraka sana usichanuke.
Kwa barabara usipokuwa chonjo utanyolewaKuna wengine Nakuru wameweka viazi kwa buckets but hizo ndoo zimewekwa kifuniko ndani to act as a false base so viazi ni nusu ndoo na unawekewa haraka sana usichanuke.
Kuna hii makara hutengenezwa na pineapple whatever hapo Thika, zinakaa sana kabla kuwaka bana. Na ile hype yote ya briquettes ilienda wapi?Time to open a briquette factory and make real cheddar
Utapika githeri kwa gas?It took nature 10 years to make that gunia you intend to consume in a month or so. Watu wawache ushamba wazoee kutumia gas.
Sio nakuru just past limuru on your way to naivasha ndio kuna hao crook shinys.Kuna wengine Nakuru wameweka viazi kwa buckets but hizo ndoo zimewekwa kifuniko ndani to act as a false base so viazi ni nusu ndoo na unawekewa haraka sana usichanuke.
Utapika na iwe more economical kuliko makaa. The secret is, ikichemka punguza moto ibaki tu kidogo to keep the pot boiling. Sio kuweka moto kama ya kumelt chuma.Utapika githeri kwa gas?