mzeiya
Elder Lister
Ni nini mbaya na watu?
Mutura ikipita 10/- a piece labda iwe imeundwa from Wagyu Beef. So shock on the Village mutura connoisseur kuona ati Ankole Grill in Kilimani is selling the sweet stuff for almost a K.
Thao.
Ngiri.
Mti.
Aki ya nani we are losing our culture and norms.
Wewe ebu angalia hii sahani na uniambie kama unaweza lipa zaidi ya soo moja kusema ukweli.
Alafu kuongeza pilipili kwa hii issue ni eti this is very ordinary mutura with basic fillings and the key ingredients of darkness, smoke and kauchafu kidogo seem to be absent.
Mimi inaniaffect kusema ukweli especially considering the tough economic times we are in.
I will send them a proposal that the turwa itself should be at most 70/- as illustrated;
Hatutaki madoido mob. Wakae na sahani yao tutakula na mkono na pia hiyo sauce watumie kwa dish zao zingine.
Anyone with contacts for the Weights And Measures Department?
Mutura ikipita 10/- a piece labda iwe imeundwa from Wagyu Beef. So shock on the Village mutura connoisseur kuona ati Ankole Grill in Kilimani is selling the sweet stuff for almost a K.
Thao.
Ngiri.
Mti.
Aki ya nani we are losing our culture and norms.
Wewe ebu angalia hii sahani na uniambie kama unaweza lipa zaidi ya soo moja kusema ukweli.
Alafu kuongeza pilipili kwa hii issue ni eti this is very ordinary mutura with basic fillings and the key ingredients of darkness, smoke and kauchafu kidogo seem to be absent.
Mimi inaniaffect kusema ukweli especially considering the tough economic times we are in.
I will send them a proposal that the turwa itself should be at most 70/- as illustrated;
Hatutaki madoido mob. Wakae na sahani yao tutakula na mkono na pia hiyo sauce watumie kwa dish zao zingine.
Anyone with contacts for the Weights And Measures Department?