And when the go to teach the Kikuyus about nautical miles and navigating by the stars pale Naivasha, @Pamba anawangoja.Hii watu ya samak iko sida mingi! Kama si wivu ya Uganda ni Mtanzania kushika wavuvi, kuharibu nyavu na kutoboa boati. Halafu Chinaman naleta synthetic fis. Sida tupu hii kazi!
Musalimie sana,he is a good fellaYuko tu.
Safe and sound.
Na wewe uko aje.Musalimie sana,he is a good fella
Mwarimo, how are you keeping? Kuna mahali nilikula fish Machakos, hio samaki haikuwa na taste ya fish hata! ,maybe ilikuwa ya mshina?Hii watu ya samak iko sida mingi! Kama si wivu ya Uganda ni Mtanzania kushika wavuvi, kuharibu nyavu na kutoboa boati. Halafu Chinaman naleta synthetic fis. Sida tupu hii kazi!
Niko poa Mwalimu. Hiyo talk ya China fish huwa story refu but pengine ni mapishi yalileta sida.Mwarimo, how are you keeping? Kuna mahali nilikula fish Machakos, hio samaki haikuwa na taste ya fish hata! ,maybe ilikuwa ya mshina?
its true mwalimu, ata ukipika haina ile harufu ya fis, tastes funny too,Niko poa Mwalimu. Hiyo talk ya China fish huwa story refu but pengine ni mapishi yalileta sida.