W wandahuhu Lister Nov 16, 2023 #3 gatheca mlevi ndiye meffi, gatundu yote barabara zote mpaka class E na foot paths angeweka lami mbaya mbaya. kazi ilikuwa kushida in a stupor 24/7*365 takataka ya manispaa Last edited: Nov 16, 2023
gatheca mlevi ndiye meffi, gatundu yote barabara zote mpaka class E na foot paths angeweka lami mbaya mbaya. kazi ilikuwa kushida in a stupor 24/7*365 takataka ya manispaa
Cortedivoire Elder Lister Staff member Nov 16, 2023 #4 Moses Konyagi alikua mp for 10 years bila development. Meffi yeye
D DeepInYourMind Elder Lister Nov 17, 2023 #5 Haslas walisema hawakuli barabara, wanakula unga. Serikali ikawaskiza, ndio maana wanapewa 200/- ya unga
Haslas walisema hawakuli barabara, wanakula unga. Serikali ikawaskiza, ndio maana wanapewa 200/- ya unga