Si anunue tu mtungi yote hadi pump.Niko na cousin who is always drunk , i am told anaendea keg na jug or chupa inabidi atafuta somewhere to sit ndio ameze poison yake.
Mimi nalewa nikiwa off sio nikienda job.Pamba ukilewa utahudumia wananchi SAA ngapi?
FP najua bei imeshuka kabisa wacha kuji cushion na post wall shiet. Fungua roho na utaje situation 'machinani'View attachment 8837
Haha naona iko ka ukweli flaniadmin ban this one!