UFISI ITANiMALIZA.......

Vicius Ricco

New Lister
Walai ufisi itanimaliza sikumojaπŸ™„jana nimeingia matatu nikaona dem mrembo waah! 🀩Kila mwanamme alikuwa anamwangalia kiplani! Mimi nikarush nikaketi kando yake😌😌nikaanza kusongasonga nikimtingiza ili anione hope #mafisi mnaelewa lkn yote ilikuwa bila mafanikioπŸ˜πŸ€”πŸ€” lkn nikapata idea:nikamua kufake call ati naonge na mumπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚"mum nimekasirika na hizi ndege za American airlines , imagine wame cancel trip yangu ya UK! πŸ™„ndio maana napenda British airways. Hata sahi niko kwa public vehicle natoka airport ju buggatti yangu imepatwa shida .. sijapigia driver wetu ju niko sure umetoka na Mercedes benz , so plz ambia dad akuje na hiyo v8 anachukue ju number yake sina iko kwa hiyo simu yangu iPhone 11 yenye nimesahau hapo kwa room! Ya ok mum sawa sawa .. tafadhali asikawie.. okkkkkk😎😎😎" all that time huyo dem alikuwa ananiangalia tuπŸ‘€πŸ‘οΈ
ME:hey mrembo mbona unaniangalia hivyo? Umeshtuka ama? πŸ˜πŸ™„πŸ™„
GIRL: hey okota battery yako ya simu ndio hapo chini ilianguka venye ulikuwa unatoa simu . πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™† Jesoooooo! Sema kuonekana chizi kwa gari!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
1596209269862.png

Mary had a little lamb. The b is silent.
 
Walai ufisi itanimaliza sikumojaπŸ™„jana nimeingia matatu nikaona dem mrembo waah! 🀩Kila mwanamme alikuwa anamwangalia kiplani! Mimi nikarush nikaketi kando yake😌😌nikaanza kusongasonga nikimtingiza ili anione hope #mafisi mnaelewa lkn yote ilikuwa bila mafanikioπŸ˜πŸ€”πŸ€” lkn nikapata idea:nikamua kufake call ati naonge na mumπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚"mum nimekasirika na hizi ndege za American airlines , imagine wame cancel trip yangu ya UK! πŸ™„ndio maana napenda British airways. Hata sahi niko kwa public vehicle natoka airport ju buggatti yangu imepatwa shida .. sijapigia driver wetu ju niko sure umetoka na Mercedes benz , so plz ambia dad akuje na hiyo v8 anachukue ju number yake sina iko kwa hiyo simu yangu iPhone 11 yenye nimesahau hapo kwa room! Ya ok mum sawa sawa .. tafadhali asikawie.. okkkkkk😎😎😎" all that time huyo dem alikuwa ananiangalia tuπŸ‘€πŸ‘
ME:hey mrembo mbona unaniangalia hivyo? Umeshtuka ama? πŸ˜πŸ™„πŸ™„
GIRL: hey okota battery yako ya simu ndio hapo chini ilianguka venye ulikuwa unatoa simu . πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™† Jesoooooo! Sema kuonekana chizi kwa gari!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Rudi huko kwa chaotic County Assembly they can accommodate khoikhoi generation
IMG_20200529_030736.jpg
 
Back
Top