Literally![]()
Wapande Chania bila kusumbuaHe has a huuuuge house huko kikambala... Wachukue tuk tuk pole pole mtwapa wateremke mpaka posta, Wachukue Afande kadhaa hapo kijipwa waingie hiyo njia ya sana sana... Waelekee huko karibu na kanamai.
Wapande Chania bila kusumbua
Do you know Mombasani geography kweli?He has a huuuuge house huko kikambala... Wachukue tuk tuk pole pole mtwapa wateremke mpaka posta, Wachukue Afande kadhaa hapo kijipwa waingie hiyo njia ya sana sana... Waelekee huko karibu na kanamai.
Do you know Mombasani geography kweli?
Wewe mbara ndo wauliza hayo?Do you know Mombasani geography kweli?
Hehehe. MCA atakosa 10k ya kurudi na Jambo Jet?Wapande Chania bila kusumbua
Heheheh ... Lakini Kwani kuna flyover from Diani to Mtwapa ?He has a huuuuge house huko kikambala... Wachukue tuk tuk pole pole mtwapa wateremke mpaka posta, Wachukue Afande kadhaa hapo kijipwa waingie hiyo njia ya sana sana... Waelekee huko karibu na kanamai.
He thought wako Nyali.Heheheh ... Lakini Kwani kuna flyover from Diani to Mtwapa ?
Hio shortcut ya kutoka Diani kwenda Mtwapa iko wapi na siijui? Unapitia dunga unuse ama Dongo Mcoondu?!(Disclaimer: majina ya coast siyajui vizuri)He has a huuuuge house huko kikambala... Wachukue tuk tuk pole pole mtwapa wateremke mpaka posta, Wachukue Afande kadhaa hapo kijipwa waingie hiyo njia ya sana sana... Waelekee huko karibu na kanamai.
Hapana. Unapitia Toa Tugawe halafu unatokea Kishada. Kisha upande gari pale stage ya paka ikuweke Mafisini ndo sasa utembee hadi Kwa Punda. Utakuwa umetumia hiyo short cutHio shortcut ya kutoka Diani kwenda Mtwapa iko wapi na siijui? Unapitia dunga unuse ama Dongo Mcoondu?!(Disclaimer: majina ya coast siyajui vizuri)