Sad Morning in Ndeiya

If kids are still as adventurers as we were then they will come with pliers and do what they need to do.

Nope... These Jayden like kids are very different from what we (not you Awa)... Went through.... At one one time when I was barely 6 years kuna mahali I used to pitia on my way to Nursery...

Kulikua na a huge behemoth of a quarry... Ilikuwa inaitwa kware ya Mahinda.... Pale Kihoto farm... @Meria Msedes can relate....

Now, that was not the problem... The issue is the instructions I got from Dad.... and as a first born... Never ever get close to that edge....

Alafu siku zetu there were no sijui ooooh.. Oooh Men at work signages.... Sijui a yellow tape.... Sijui keep clear.... Deep excavation bla bla bla...

Unatoka shule unapitia almost 2kms from there and go home straight....

I miss those days... But anyhow
 
I blame 844

Unakumbuka kihoto... Karuma Indo..... Gwa Kanji.... Kwenye mbao zilikuwa Zina pasuliwa wewe?????

Alafu upande na hiyo njia.. Ilikuwa Inapitia kwa kina koigi... Wa wam.... Alafu inauenda mpaka kwa tycoons siku hizo... 'Kwa Nyutu'... Unaenda mpaka unapata mashamba za Mburu Gichua...?

By the way Nyutu owned some several mats... Zilikuwa zinaitwa Pwani Line.

@mathais if he is alive can confirm.
 
Back
Top