It's Me Scumbag
Elder Lister
Coz you are no ferking expert...kugeuza mutura has never required any expertiseNingekuwa beneficiary wa covid funds ningemulipa,sijawahi earn 1500 as pure profit kwa nusu saa
Coz you are no ferking expert...kugeuza mutura has never required any expertiseNingekuwa beneficiary wa covid funds ningemulipa,sijawahi earn 1500 as pure profit kwa nusu saa
Si unapewa kienyeji na Pamba sio ati ni 12 Kama wafuasi Kristo.nisukumie,Hawa wetu walinikataa,phylgee,purr,deepsea, Nefertiti, etc,Kuna wakati huwa najiuliza,Mimi ni mitoto ya paka.
Ungemsukumia hata Kama ni punch at least afanye nazo kitu.You Will never become a millionaire Kama kazi ni kutupatupa pesa,Kama ni yeye amejenga hio tank angeiuza pesa ngapi?
usijali utamaliza kesho shida ni the lost water unge harvestMvua imenikatishia na vile nilikuwa nimenda vizuri
hiyo shimo ni kubwa sana...ata uyo msee wa chomelea amekuhurumia... if it was me ningekuambia 2k siezi kuekaCheki hiyo shimoView attachment 21403
Heshimu Mzee , ako na ujuzi ya many years .little old fucker
Hawanipendi na mimi siwapendi@Mongrel ulifanyia watu nini hizi streets.. hakuna hata mtu mmoja sympathetic na wewe? hawajui how many mituras na
vya mbuzi you have to sell ndio upate hiyo 1500
@Mongrel ulifanyia watu nini hizi streets.. hakuna hata mtu mmoja sympathetic na wewe? hawajui how many mituras na vichwa vya mbuzi you have to sell ndio upate hiyo 1500
Nime accept the offerSi unapewa kienyeji na Pamba sio ati ni 12 Kama wafuasi Kristo.
He,he,he,tumizee Kama huto ndio huwa tunaweka pay bill tunununuliwe pombeHeshimu Mzee , ako na ujuzi ya many years .
Usicheze na kupeleka mufara ukiwa kipii itakuja kusumbua!He,he,he,tumizee Kama huto ndio huwa tunaweka pay bill tunununuliwe pombe
and not just adhesives, its has other uses e.g resistant coatings for industrial floors and work tops, corrosion resistant coatings for steel, sealants, water proof coating........Inashikishaga mpaka concrete....
First heard of it when we were inspecting some cracks under the New Nyali Bridge and the Japanese Engineers were saying no worries we shall fix them (the cracks) with epoxy resin.and not just adhesives, its has other uses e.g resistant coatings for industrial floors and work tops, corrosion resistant coatings for steel, sealants........
In our industry there is a joke that if you are asked to specify a construction chemical you have never heard about, you are safe just stating, "epoxy based......."
Mbona watu fukara huwa na entitlement hivo,? Maringo ya peni mbili,leo nilikuwa nataka kuchomewa water tank hapo huwa pako na tap juu pamepanuka kidogo na pana leak,nikaita jamaa wa kuchomelea makarai,mnajua how much the little old fucker alilipisha? 1500 ,na his tools of trade ni Moto kwa gallon ya rangi,na tuchuma tuwili na hio kazi haiwezi mchukua more than 30minutes,.nimeamua nijifanyie liwe liwalo
Sasa unatumia hosepipe ni pesa ya PPR female socket umekosa...no wonder ulidai chomelea ni expensive
Niwache pleaseSasa unatumia hosepipe ni pesa ya PPR female socket umekosa...no wonder ulidai chomelea ni expensive