shocks
Elder Lister
mumeingilia waka meat sana, hata mimi 1500 silipi for that job
ahaa, epoxy, the miracle chemicalAraldite and you are good to go...
ahaa, epoxy, the miracle chemicalAraldite and you are good to go...
Hio epoxy sinunuimumeingilia waka meat sana, hata mimi 1500 silipi for that job
ahaa, epoxy, the miracle chemical
'Nunua' tap ufunge kwa hio shimo.Cheki hiyo shimoView attachment 21403
Ni kubwa,nataka kuireduce a little ndio niweke long thread nipple ya three quarter'Nunua' tap ufunge kwa hio shimo.
Mbona umeweka nunua in quotes!?'Nunua' tap ufunge kwa hio shimo.
You Will never become a millionaire Kama kazi ni kutupatupa pesa,Kama ni yeye amejenga hio tank angeiuza pesa ngapi?1500 ni kitu ya kufanya mtu ”akona doh” aeke thread akiongea mbaya???
Now that umeamua kujichomea how's it going?? Tupa ununue ingine, you're mentally poor.....You Will never become a millionaire Kama kazi ni kutupatupa pesa,Kama ni yeye amejenga hio tank angeiuza pesa ngapi?
Very true. Hapa kuna ufukara na siyo jamaa wa kuchomelea.Mbona watu fukara huwa na entitlement hivo,? Maringo ya peni mbili,leo nilikuwa nataka kuchomewa water tank hapo huwa pako na tap juu pamepanuka kidogo na pana leak,nikaita jamaa wa kuchomelea makarai,mnajua how much the little old fucker alilipisha? 1500 ,na his tools of trade ni Moto kwa gallon ya rangi,na tuchuma tuwili na hio kazi haiwezi mchukua more than 30minutes,.nimeamua nijifanyie liwe liwalo
You Will never become a millionaire Kama kazi ni kutupatupa pesa,Kama ni yeye amejenga hio tank angeiuza pesa ngapi?
Ningekuwa beneficiary wa covid funds ningemulipa,sijawahi earn 1500 as pure profit kwa nusu saaI'd pay it...angalau to promote him. These people do not get frequent jobs, but he choose to chomelea instead of stealing
1500 ni kitu ya kufanya mtu ”akona doh” aeke thread akiongea mbaya???
Inashikishaga mpaka concrete....mumeingilia waka meat sana, hata mimi 1500 silipi for that job
ahaa, epoxy, the miracle chemical
Overhead zake ni za siku hizo zote amezunguka akitafuta customer kama wewe.sijawahi earn 1500 as pure profit
Ningekuwa beneficiary wa covid funds ningemulipa,sijawahi earn 1500 as pure profit kwa nusu saa
Fanyia huyo jamaa hesabu,akipatana na kazi Kama hizo si each day anamake 24kVery true. Hapa kuna ufukara na siyo jamaa wa kuchomelea.
Nimefukuza yeyeInashikishaga mpaka concrete....
Chomelea amejua akiambia sonko pesa kidogo atafukuzwa juu ataonekana ana kazi mbaya ndio analipisha cheap.
Sikumpatia, nilikuwa willing kulipa yeye 200 akakataahehe kabla umpate amejiweka strategically mpaka ukampa job
My fren, hiyo kazi angeifanya whole day akuonyeshe vile ni complicated. Wacha anukishe kitungu.Fanyia huyo jamaa hesabu,akipatana na kazi Kama hizo si each day anamake 24k
Nimefukuza yeye
That's an insultSikumpatia, nilikuwa willing kulipa yeye 200 akakataa