Poverty and entitlement

Mongrel

Elder Lister
Mbona watu fukara huwa na entitlement hivo,? Maringo ya peni mbili,leo nilikuwa nataka kuchomewa water tank hapo huwa pako na tap juu pamepanuka kidogo na pana leak,nikaita jamaa wa kuchomelea makarai,mnajua how much the little old fucker alilipisha? 1500 ,na his tools of trade ni Moto kwa gallon ya rangi,na tuchuma tuwili na hio kazi haiwezi mchukua more than 30minutes,.nimeamua nijifanyie liwe liwalo
 
Cheki hiyo shimo
IMG_20200904_134331.jpg
 
What if hio ndio the standard rate ya kuchomelea tangi, the fukara pia yeye anaambia strangers hapo kwa mtaa vile wewe ni maskini.
Nunua water tank mpya, ondokea kudeal Na mafukara.
 
Back
Top