Nini husumbua watu wengine

Meria

Elder Lister
Skampaka alifanikiwa kuhepa 001 kabla iwe locked down na akaenda na dukuduku yake huko Mt Kenya, vile ilifika sijui, leo amepata kazi ya kubeba mbao from Kianjogu to Karatina town, mdogomdogo myamaa akafika kangocho
oona sasa
ameyua hayui

94506339_2703738439751980_6241316762239893504_n.jpg
94257621_2703738709751953_4835532399565602816_n.jpg

namuitisha mia saba niweke mzigo + yeye + tuk tuk kwa msedes amekataa
watu wengine hawawes saidika
TOJ x 10
 
Last edited:
You got your fact all wrong boss. You do not move from Mt. Kenya to Kianjogu thru' Kangocho.
And msedes ikisimama Kangocho inakuwanga imechindwo na hiyo mulima.

But trust you to portray me in the worst possible light you can imagine. Mkiwa na @Abba @Mwendawazimu
But you can't me!
Skamapaga, swallow your pride usaidiwe barabarani... please. Akina @Jumabekavu husema "maskini akiinama makalio hulia mbwata". Inama, nyenyekea makalio iwike mbwata ndio @Meria asukume hilo dukuduku. But unaweka kifua mbele na hujiwezi.... eeish banee 😊
 
Last edited:
Skamapaga, swallow your pride usaidiwe barabarani... please. Akina @Jumabekavu housemaster's "maskini akiinama makalio hulia mbwata". Inama, nyenyekea makalio iwike mbwata ndio @Meria asukume hilo dukuduku. But unaweka kifua mbele na hujiwezi.... eeish banee 😊
Your dirty mind will give you visieno banana. Untaka niiname ndo @Meria afanye?
Maskini akipata matako hulia mbwata si akiinama....
Ngoja si msedes itapelekwa parking,tutaona nani atapeleka yeye Bamburi kwa Mutheu...
 
Back
Top