Labda ako na S10 pro kwa mfuko na lappy ya maana. Even without cash, that could be 200K gone just like that.hata ako na bahati hakuumwa risasi.. lakini wezi watatu watagawanya nini from mfuko ya huyu jamaa... i never have more than 2k cash kwa mfuko
Watchmen wako lakini jamaa ametembea kutoka kawangware ndio aingie kazi saa mbili unaexpect awe alert ya ku respond kwa majamaa wameshuka tu kwa nduthi na kupora jamaa? Hata soja wakati ametokea umeona kama ametokea na hata kirungu?Theyshould just improve gate security.
wacha kutupisha watu mbao. ile siku utatembea na kisu ndio msako itakua inafanyika, utaambia nini watu? Then again, huyo jamaa wa suti alikuwa na time kweli ya kujidefend hata kama anekua amebeba glock?Always carry a weapon hata kama ni concealed knife.
Uko Nairobi na unatembes ni kama uko kwako? nah, mimi huwa always na kisu, ntakufyeka throat once you approach me in suspicious clothingwacha kutupisha watu mbao. ile siku utatembea na kisu ndio msako itakua inafanyika, utaambia nini watu? Then again, huyo jamaa wa suti alikuwa na time kweli ya kujidefend hata kama anekua amebeba glock?
Ni Watchman wa kampuni gani huingia kazini saa mbili?Watchmen wako lakini jamaa ametembea kutoka kawangware ndio aingie kazi saa mbili unaexpect awe alert ya ku respond kwa majamaa wameshuka tu kwa nduthi na kupora jamaa? Hata soja wakati ametokea umeona kama ametokea na hata kirungu?
wueh, hizi ndio gani msee??suspicious clothing
Haha two decades ago ilikuwa beach shirt, sahara (safari boots) na ka-pipe yaani skinny jeanswueh, hizi ndio gani msee??
Na kangolHaha two decades ago ilikuwa beach shirt, sahara (safari boots) na ka-pipe yaani skinny jeans
wanaingia ngapi?Ni Watchman wa kampuni gani huingia kazini saa mbili?
Kuna kofia ilikuwa inaitwa odinga walikuwa wanaipenda sana.Na kangol
Kangol was the official name. Sijui mbona aliwacha kuvaa. Maybe it's because he discovered hair dyeKuna kofia ilikuwa inaitwa odinga walikuwa wanaipenda sana.