My new daughter...

while helping a stranger is a noble thing, one has to be careful what they are getting themselves into, as mentioned a 23 year old is an adult, there was a time I had such a scenario was being asked to host some lady who had a small kid because she was going through some issues, nikakata, the complications of discriminating a kid are just too much unless you want to treat the kid as your own.

mimi i just asked them what they were doing before akasema anaweza fulia watu nguo, or sell clothes, gave her 30k and paid her house 3 months hapo asipojipanga na hiyo ni shauri yake. my take is you help her when she is not in your home, otherwise be ready to accommodate her as one of your kid.
 
Your wife and daughter are looking at how you are going to solve this, how you resolve it will be held against you in the future.
Waite mkutano wote, daughter, wife, guest.
Like they have said it, staying in your house is a big NO, they will later all get attached complicating her moving out afterwards.
Eventually the child she will get will call you grandpa na utamlea Mzee na umsomeshe.
You have a son in the house mwenye ataona nyama umeiva na kunyemelea pengine hata amuongezee mtoto which he will later resent.
Hamisha yeye mbali, mpatie pesa ya nyumba, bedding, tafutia yeye kazi ya kujimidu. In all instances let your wife be involved directly not you.
Update us later how it goes
 
Your wife and daughter are looking at how you are going to solve this, how you resolve it will be held against you in the future.
Waite mkutano wote, daughter, wife, guest.
Like they have said it, staying in your house is a big NO, they will later all get attached complicating her moving out afterwards.
Eventually the child she will get will call you grandpa na utamlea Mzee na umsomeshe.
You have a son in the house mwenye ataona nyama umeiva na kunyemelea pengine hata amuongezee mtoto which he will later resent.
Hamisha yeye mbali, mpatie pesa ya nyumba, bedding, tafutia yeye kazi ya kujimidu. In all instances let your wife be involved directly not you.
Update us later how it goes
Una maono ya mbali sana mhenga:ROFLMAO:
 
Una maono ya mbali sana mhenga:ROFLMAO:
Nishawai itwa na jamaa alikuwa anvunja ndoa yake lakini sikuwa najua hivyo ndivyo kulikuwa kunaenda.
Am telling you Greeks have a saying that 'hatiri Ciira muuru ta uthoni ugikua'
Tuliingia saa tano tukatoka five, ulikuwa back and forth back and forth with breaks in between ya kuattend call of nature.
During one of the breaks jamaa wangu aliniambia ile upuzi iko kwa hiyo familia hawezi vumilia juu ni kama ilikuwa inherent na aknipea onyo.
Tukiingia huko tena Hakuna mambo ya kurudisha khupipi kwa hiyo boma yake so ni mimi nijipange na misamiati ya kimhenga.
Walipouliza kama tunarudi na bibi Walibaki vinywa wazi niliposema ati wataitana na kutujulisha siku ya mahari coz ni wao tu walipendana hatukuwemo.
I have never forgotten how one mzee whistled in my ears ati 'wewe ni kama umezoea hizi kesi'
So when I give you the pointers you better respect
Hii busara yote inatokanga kwa ubugaji WA Muratina.
@Mongrel unasikia
 
Nishawai itwa na jamaa alikuwa anvunja ndoa yake lakini sikuwa najua hivyo ndivyo kulikuwa kunaenda.
Am telling you Greeks have a saying that 'hatiri Ciira muuru ta uthoni ugikua'
Tuliingia saa tano tukatoka five, ulikuwa back and forth back and forth with breaks in between ya kuattend call of nature.
During one of the breaks jamaa wangu aliniambia ile upuzi iko kwa hiyo familia hawezi vumilia juu ni kama ilikuwa inherent na aknipea onyo.
Tukiingia huko tena Hakuna mambo ya kurudisha khupipi kwa hiyo boma yake so ni mimi nijipange na misamiati ya kimhenga.
Walipouliza kama tunarudi na bibi Walibaki vinywa wazi niliposema ati wataitana na kutujulisha siku ya mahari coz ni wao tu walipendana hatukuwemo.
I have never forgotten how one mzee whistled in my ears ati 'wewe ni kama umezoea hizi kesi'
So when I give you the pointers you better respect
Hii busara yote inatokanga kwa ubugaji WA Muratina.
@Mongrel unasikia
na ni ukweli mzito umezoea hizi mashida shida
 
All is well that ends well. after intense talks with the mother that required marathon calls with her best friend, my wife and I, she finally relented. The girl left this afternoon and the mother just called to say she has arrived home safe.
I appreciate all your words of wisdom.
 
All is well that ends well. after intense talks with the mother that required marathon calls with her best friend, my wife and I, she finally relented. The girl left this afternoon and the mother just called to say she has arrived home safe.
I appreciate all your words of wisdom.
Good move. Heko Mwalimu
 
This is a very tough decision to make,you can't somebody from your house in such situation,,utaishi ukikumbuka ni kama ulimteza.
 
All is well that ends well. after intense talks with the mother that required marathon calls with her best friend, my wife and I, she finally relented. The girl left this afternoon and the mother just called to say she has arrived home safe.
I appreciate all your words of wisdom.
hope she stays with her peacefully,you know maybe she was just accepting him back to get rid of you.
 
Back
Top