Ssabasajja
Elder Lister
Kuna watu walianza na tustools. na wakasonga kimaishaPlastic chair??si heri nikae kwa kitanda mpaka nipate pesa?![]()
Kuna watu walianza na tustools. na wakasonga kimaishaPlastic chair??si heri nikae kwa kitanda mpaka nipate pesa?![]()
I don't despise.Kuna watu walianza na tustools. na wakasonga kimaisha
Mimi nilianza na one plastic chair, two small sufurias, one pan, mwiko, two plastic plates, two cups, kichungi, two spoons, small simple bed, mattress simple, ampex subwoofer and a laptop. Hakuna meza naketi chini I enjoy my dinner huku nawatch wrestling (from lappy)which I had earlier downloaded using muhindi's wifiKuna watu walianza na tustools. na wakasonga kimaisha
My conscience will never allow me to buy auctioned property. Never.Na okshonia.
Machooossss ya watu....My conscience will never allow me to buy auctioned property. Never.
Padre kumbe wewe ni wa juzi hivi.Mimi nilianza na one plastic chair, two small sufurias, one pan, mwiko, two plastic plates, two cups, kichungi, two spoons, small simple bed, mattress simple, ampex subwoofer and a laptop. Hakuna meza naketi chini I enjoy my dinner huku nawatch wrestling (from lappy)which I had earlier downloaded using muhindi's wifi
Niko na more than 4 decades mkubwa.Padre kumbe wewe ni wa juzi hivi.
Hehehehe nime note pia juu ya mpaka Wifi. Priest wetu ni wa juzi but anyway ata mtoto wa juzi ako na uzee wakePadre kumbe wewe ni wa juzi hivi.
Hehe.
Hapo kwa ampex na lappy ndio pamekuuza.
Mimi nilianza na gunia kwa floor food ilikua ni kwa kianda kabla ni anunue ka stove ka dambi
Mzuri sana while cooking , problem inaanza ukimaliza kupika and it's time kuizima.Hamuwezi kaa kwa nyumba moja , Kwanza single .Machozi tu.ka dambi
Makosa si yako. You are not the Merchant of Venice/Kawangware so don't carry their guilt.My conscience will never allow me to buy auctioned property. Never.
Ma- bachelor wengi siku ya kwanza hula mboga wanalala juu wร lisahau kununua mwiko. Unakaanga mboga wakati maji ya kasembe yamechemuka ndio una- realize, ala?, sina mwiko!mwiko
I thought it was easy kutafuta mbao na kuichongaMa- bachelor wengi siku ya kwanza hula mboga wanalala juu wร lisahau kununua mwiko. Unakaanga mboga wakati maji ya kasembe yamechemuka ndio una- realize, ala?, sina mwiko!
Saa tatu usiku mtaa mpya? Hata panga utatoร wapi?I thought it was easy kutafuta mbao na kuichonga![]()
Mzuri sana while cooking , problem inaanza ukimaliza kupika and it's time kuizima.Hamuwezi kaa kwa nyumba moja , Kwanza single .Machozi tu.
I thought it was easy kutafuta mbao na kuichonga![]()
Didn't think about thatSaa tatu usiku mtaa mpya? Hata panga utatoร wapi?
Kuna watu walianza na tustools. na wakasonga kimaisha
nyinyi Kama wanaume we don't care hata mlale kwa mitaro,hii advice pelekeeni akina mzee mjinga,mrembo tutamusort liwe liMimi nilianza na one plastic chair, two small sufurias, one pan, mwiko, two plastic plates, two cups, kichungi, two spoons, small simple bed, mattress simple, ampex subwoofer and a laptop. Hakuna meza naketi chini I enjoy my dinner huku nawatch wrestling (from lappy)which I had earlier downloaded using muhindi's wifi
Panga unanunua kwa hardwareSaa tatu usiku mtaa mpya? Hata panga utatoร wapi?
Sawa. Sikujuanyinyi Kama wanaume we don't care hata mlale kwa mitaro,hii advice pelekeeni akina mzee mjinga,mrembo tutamusort liwe li
Panga unanunua kwa hardware
Umekosa nyama za mitura leo? Tulia.nyinyi Kama wanaume we don't care hata mlale kwa mitaro,hii advice pelekeeni akina mzee mjinga,mrembo tutamusort liwe li
Panga unanunua kwa hardware