Mlichezwa Nanii

Unless clinically proven, I think anything more than once annually is a bit extreme.
Still, we hope that we don't get to that point of frequently facing emergent variants
The Reset 😈😈
Screenshot_20220203-031547.png
Screenshot_20220204-213723.png
 
Nakaanga hivi nacheka nikikumbuka vile watu walikuwa wameogopa, ati journalist anafunga virago kwenda kupimwa corona incase ako nayo harudi nyumbani, ati wamefungiwa kanairo hawawestoka na pale kwa D- ilikuwa zawadi ya 500 pekee. Ati mtoto wa Kagwe ako na bash lakini wewe huwekuwa na bash. Ati ukidungwa castration hautavaa mask tena na huwespatwa na homa. Na watu kwa serikali being forced to contribute to corona kitty liwe liwalo. Nachekanga sana
 
Nakaanga hivi nacheka nikikumbuka vile watu walikuwa wameogopa, ati journalist anafunga virago kwenda kupimwa corona incase ako nayo harudi nyumbani, ati wamefungiwa kanairo hawawestoka na pale kwa D- ilikuwa zawadi ya 500 pekee. Ati mtoto wa Kagwe ako na bash lakini wewe huwekuwa na bash. Ati ukidungwa castration hautavaa mask tena na huwespatwa na homa. Na watu kwa serikali being forced to contribute to corona kitty liwe liwalo. Nachekanga sana
Wanafungua hoteli, kisha mutahi anakasirika na anasomea majamaa wakienda kununua chai, na chungwa
 
Back
Top