Mia Mbili tu(200sh) from Nanyuki to Nairobi by train

Huo ni wakati Moi na watu wake walikuwa wamepora reli ndio waiangushe ma-lorry zake zipate fiashara. Early to mid eighties I used to use it from Kisumu to Nakuru. It would leave Kisumu at 6.00 pm drop us at 3.00 am before it proceeded to Nairobi to arrive at daybreak.

I remember there was also a line that went up to Butere.
 
I hope the standards will be maintained. Nilipanda the old train to mombasa in 2015. Wueh! The thing was filthy!!! Hiyo choo vile ilikuwa chafu sikukula food the entire journey because I couldn’t fathom shitting there. Na ujue nilikuwa first class. We left Nairobi at 9pm tukafika Voi the following day at 2pm
mimi around 2013 kutoka 1900hrs mombasa tulifika nairobi the next day saa tano ya usiku... worst was walikata stima the whole day so we had no communication with anybody... I bought a goat kwa ile wagon ilikuwa ya free ya maasai..
 
Huo ni wakati Moi na watu wake walikuwa wamepora reli ndio waiangushe ma-lorry zake zipate fiashara. Early to mid eighties I used to use it from Kisumu to Nakuru. It would leave Kisumu at 6.00 pm drop us at 3.00 am before it proceeded to Nairobi to arrive at daybreak.
There used to be two trains from Msa. One at 6pm which was called fagia juu ya stopping at all stations and the Express one which left at 7pm.
By 8am zote zilikuaga zinafika nrb.
Very memorable 2nd class rides
 
mimi around 2013 kutoka 1900hrs mombasa tulifika nairobi the next day saa tano ya usiku... worst was walikata stima the whole day so we had no communication with anybody... I bought a goat kwa ile wagon ilikuwa ya free ya maasai..
Once we hit an elephant at tsavo tukaokota manyama kila mtu kaa kilo mbao mbao.
The train guards were very helpful sisi tukipigania mnofu hao walichukua liver.
The softest part of an elephant which is the size of a Demio.
By the time nifike msa the meat was turning black nikachemsha mara mbili nikimwaga maji the 3rd time we ate.
Nikaa kusosi ngozi ya kiatu.
It was that tough
 
Last edited:
Back
Top