LOCALLY USED CAR PRICES (2)

Jug

Elder Lister
I kif up...2008 basic car being sold at 1M. Hehe mimi hata mninyonge sigwes shika iyo gari

photo_2022-01-18_08-27-03.jpg


Comment section watu wameamua kuambiana ukweli

Link:-
 
Lakini si for half that age is going for 2M plus so this is expected!
Kwa hivyo tuseme magari Kenya instead of depreciating in price the opposite happens. When that car was imported the price was slightly above 1.1M ametumia gari for 4+ years and disposing it at roughly the same price. Ii nikuuza gari na umaskini yake yote.

But I see the prices of 1800cc going downward are exaggerated in the Locally Used Segment ruka 2000ccc specifically 2500cc and above and the prices are reasonable take for example the Mark X mtu anachukua gari na 1.6M akidispose one year later hata 1M akipata ni bahati
 
Kwa hivyo tuseme magari Kenya instead of depreciating in price the opposite happens. When that car was imported the price was slightly above 1.1M ametumia gari for 4+ years and disposing it at roughly the same price. Ii nikuuza gari na umaskini yake yote.

But I see the prices of 1800cc going downward are exaggerated in the Locally Used Segment ruka 2000ccc specifically 2500cc and above and the prices are reasonable take for example the Mark X mtu anachukua gari na 1.6M akidispose one year later hata 1M akipata ni bahati
Hapa sasa.

Unakutana na harrier inauzwa 550k unaanza kujiuliza maswali mengi.

Kitu watu huwa wanaogopa ni the large displacement engines, which are perfect for people wishing to cover long distances on the highway.
 
Back
Top