Liverpool VS Man Useless: Super Sunday

@Jug and @QuadroK4000 have been sanctioned forthwith. You were warned.
After Mo'Salah completed his hat-trick, a friend of mine ametoka nje kwa balcony na kupiga kelele akisema
"Kwa mbaaali nimeuchunguza mpira na sidhani kama dini inaruhusu mambo hayo, tufanye ibada kwa wingi ndugu zangu mnaonisikilizeni"
...
Atakuwa amemaanisha nini majamaa
😂
😂
😂

#YNWA
 
sjui mnacheka nini na kuna games 29 zimebaki.
ngojeni muone tukitwanga Spurs alafu Man City.


2021-2022 sesaon

1635096652027.png



reminds me of 2008-2009 season

1635096681277.png



1635096891825.png
 
Last edited:
After Mo'Salah completed his hat-trick, a friend of mine ametoka nje kwa balcony na kupiga kelele akisema
"Kwa mbaaali nimeuchunguza mpira na sidhani kama dini inaruhusu mambo hayo, tufanye ibada kwa wingi ndugu zangu mnaonisikilizeni"
...
Atakuwa amemaanisha nini majamaa
😂
😂
😂

#YNWA
Iwe huru kweli?
 
time Ole amenyeshewa akikaa kaa paka ndio hutokelezea kaa Simba.
kuna posibility mtapatana na Ole akiwa kaa Fergi na Pep combined na players watakua Zidane, Messi, .....

but also, you might find us feeling Sufficiently Philanthropic and Sufficiently Charitable and we want to make donations

View attachment 46244
@Mishale there was no philanthropy and no charity. This was a grab. Forceful grab....3 points for everybody!
 
Mungu wa Yakobo, Eliyah na Musa, naja mbele zako siku ya leo kwa hiari ya Ole Gunnar Solskjaer na timu ya ibilisi manchester.

Naomba ukawasamehe dhambi zao siku ya leo Baba na ukawafanye wawe safi zaidi ya pamba. Katika hili mechi la kata na shoka, naomba ukawakabidhi nguvu na maadili timu hiyo ya wasenge wanyonge ili wakaicharaze LiVARfools mabao tano mtungi.

Naomba Ronaldo akawafunza Matip na yule mpotevu mwingine maana ya GOAT. Naomba Sancho akumbuke alipoviwacha viatu vyake vya kufunga magoli na pia ukamkabidhi talanta ya Ronaldinho ili ahakikishe Robertson amekagua nyasi na mashabiki.

Naomba yule mreno mwingine anapenda penalty leo ahakikishe Alexander Arnold amejiuliza maswali kwa nini ako na jina tatu za kwanza, na pia afanye Alisson apanue miguu zaidi kuliko kahaba wa Sabina Joy.

Wape mabeki wanyonge wa manchester nguvu ya kusimama tisti mithili ya Miguna wanapokabiliana na Mane na Salah, na Fred akili ya kukabiliana na Naby Keita na Henderson mpaka wawike kuna uchawi unaendelea uwanjani.

La muhimu zaidi, hakikisha malaya sugu @Meria Carey Na @It's Me Scumpaka wamekwenda hasara kubwa kwenye bet zao.

Katika jina la Yesu ninaomba na kuamini.

AMINA!!!
Amen amen ameeeeen.
 
Back
Top