Kusaidia wakenya ni ngumu saidi- Amazon workers wametuliza Bahamas saa hii.

I warned my sister's about it the moment I saw it being advertised, juzi nimeona Kwa family WhatsApp messenger group, mmoja akisema 'aki kheri ningemskiza clemo, 25k zangu zimeenda hivyo'. Nimeweka gif ya laughing Amin na nikaandika ' a Fool and her money are soon parted' it's a cliché but always true.
FlimsyInfiniteFinwhale-max-1mb.gif
 
Hehehe, kuna a future JazzLady yellow yellow alijiingiza kwa Crowd 1 nikamuambia hiyo ni ukora amejiingiza, akanikasirikia na akasema sina value kwa sababu nimekataa kuingia box. Fast forward a month, akajiingiza kwa ingine inajiita Qubittech. Msichana aliuza vyombo za nyumba na mashini za biashara ndio atupe pesa huko, na bado pia hiyo ikafyonzwa kama covid funds.

Nitamuongelesha huko June baridi ikizidi.
June imefika:LOL:
 
Back
Top