Yeye na mbuyamba watarudi wakongwe Silva na Azpilicueta wakienda retire.Hehe...Sarr anaenda loan.
Lakini Chilwel ako sawa.
What chelsea will have is depth lakini shida yao kubwa ni their new players acclimatizing to English football.
Ng'oooo.Mtashtuka msha gae hao plager hawana effect yoyote