Nguruba niko na marafiki wameshindwa kufika huku na mimi ndio chief marketing manager wa hii kijiji ama umesahau mimi ndio nilichokora ktalk?pamba kazi ya kujipa huwa inaitwa kiherehere.. na sitaki kukuita hivyo ju si heshma
Tupunguze toxicity mdau....pamba kazi ya kujipa huwa inaitwa kiherehere.. na sitaki kukuita hivyo ju si heshma
Io ngombe ibaniwe for life....handle ya digiii isipatikane ukuAdmean anatumia "digi-sniffing dogs" kuweni wapole