#Jambokenya

Suala la iwapo sheria kuhusu kura ya maamuzi inafaa kuwa na maswali kadhaa lilishamiri mwanzo wa mjadala wa kuundwa kwa sheria hiyo katika bunge la kitaifa. Suala hilo liliibua mgawinyiko miongoni mwa wabunge wa Tangatanga na wale wa Handshake
 

Attachments

  • 20210212-54126.jpeg
    20210212-54126.jpeg
    120.3 KB · Views: 111
Back
Top