Berlin Oxford
Lister
Phew! Kumbe uku ndio senyet. Nimeona kukiwa kuzuri sana. Nikama nilikua kwa giza. Somebody to welcome me
Karibu mdau. UDA Bottom Up ndio form @mkurugenzi = @JohnPombe wa Huko county assemblyPhew! Kumbe uku ndio senyet. Nimeona kukiwa kuzuri sana. Nikama nilikua kwa giza. Somebody to welcome me
Welcome to the Azimio Club.Phew! Kumbe uku ndio senyet. Nimeona kukiwa kuzuri sana. Nikama nilikua kwa giza. Somebody to welcome me
Usipeane sifa bado kwanza. Tia subira. Mwaka mchanga tuko election year na nyani ni...Nimeona kukiwa kuzuri sana
Inaonekana umetoka ile cesspool imejaa chawa. Tunakukaribisha kwa mikono mikunjufu lakini kwanza itabidi umesanitize kwa kidimbwi chetu spesheli kinachomaliza ujinga na ukiritimba...Phew! Kumbe uku ndio senyet. Nimeona kukiwa kuzuri sana. Nikama nilikua kwa giza. Somebody to welcome me
huyu ntampiga ma sweeps mapaka ahepeKaribu mdau. UDA Bottom Up ndio form @mkurugenzi = @JohnPombe wa Huko county assembly
oh kumbe. Ntajikakamua basimpaka aweke post kadhaa
You have to prove yourself before you are allowed to like anything here... There is only one way to prove yaself.alafu nikama nahitaji orientation. "Like" button iko pande gani
Ulihama ile singo room ulikuwa unachungulia your neighbour having coitus?
Mi si kale buana. I am from Mt. KenyaKaribu Langat
Ukirudi huko county assembly Salimia Uwesmakende, Kinyozi wa stima Jebedeyo, na WaturedioMi si kale buana. I am from Mt. Kenya