Is this true ?

Only because najua hakuna kitu kitanifanyikia, and it's the only "legit" way kuomoka in this country. Ukijaribu biashara unakutana na karao wakora, KRA, kanjo na mafisi wengine ready to kill your business for a bribe.


Hehehe...tenacity muhimu.
Na pia usiogope korti saana.
 
Back
Top