in the headlines: Hunt for Nairobi Chokosh

Who do you think will win th Nai Gubernatorial seat

  • Quidero

  • Miguna

  • Bishop The Glory Wanjiru

  • Peter Mzungu Kenneth

  • Dennis Kariuki

  • William Kabogo


Results are only viewable after voting.
Inafaa kipengele kiekwe kwenye Katiba ya kutoruhusu mtu kusimama kutoka Kaunti nyingine. Kabogo angoje asimame Kiambu si kujump ship to Nairobi na asha simama Kiambu
Hii ni system ya Democracy ni ya majambazi. Jeb Bush alisimama na akashinda Gubernatorial elections za Florida born and raised in Houston, Texas.
so should this apply to politicians only or to all civil servants and residents of each particular county?
 
so should this apply to politicians only or to all civil servants and residents of each particular county?
Sasa Kabogo asha kuwa Gavana Kiambu ako na biashara gani kukuja kusimama Nairobi. Ka ya Kiambu imemshinda apambane na hali yake hapo Kiambu ka raia ya kawaida
 
so county iki kosa "mtu wa maana "amesimama na kuna "mtu mweingine wamaana" kutoka county ingine ni heri mkae na hao wenu kuliko mchague mwingine kutoka nje?
Ka hakusimama election in another County then ako na clean bill to run in any County, lakini ka ulishasimama kwingine ukue restricted to that County. Ii ndio inafanya watu wanaona politics ka career
 
Ka hakusimama election in another County then ako na clean bill to run in any County, lakini ka ulishasimama kwingine ukue restricted to that County. Ii ndio inafanya watu wanaona politics ka career
Kidero wants to take his thieving ways to Homabay, watakiona.
 
in other news

4063c4e.png
 
Ka hakusimama election in another County then ako na clean bill to run in any County, lakini ka ulishasimama kwingine ukue restricted to that County. Ii ndio inafanya watu wanaona politics ka career
i wish tunge kua na sense of entitlement kaa hii kwa vile hao watu wanatumia pesa zetu.
maybe hawange kua wanaona politics kaa career.
 
Do you really think Chebukati would put him on the ballot? Kuwa serious msee.
What is stopping Chebukati from including Miguna? There is no law that says someone in the diaspora/forced exile cannot run for governor. If IEBC refuses to include Miguna, they will be contravening his right to run for office. All the more reason to push for Miguna's inclusion in the ballot.

Sometimes one has to do crazy things to right the ship, otherwise dynasties watatufanya watumwa wao.
 
What is stopping Chebukati from including Miguna? There is no law that says someone in the diaspora/forced exile cannot run for governor. If IEBC refuses to include Miguna, they will be contravening his right to run for office. All the more reason to push for Miguna's inclusion in the ballot.

Sometimes one has to do crazy things to right the ship, otherwise dynasties watatufanya watumwa wao.
I thought someone has to transmit their papers in person? How will he do that when he is not in Kenya? And I bet there are other requirements that would lock him out.
 
I thought someone has to transmit their papers in person?
According to what IEBC have put up, they've just mentioned handing in of relevant documents. They haven't said it has to be in person.

Yes, requirements that would lock him out include holding a valid national identity card or passport which wanjohi's government has refused to hand back to him, in spite of several court orders. If they can disobey court orders, what is stopping Miguna from returning to run for governorship?
 
so county iki kosa "mtu wa maana "amesimama na kuna "mtu mweingine wamaana" kutoka county ingine ni heri mkae na hao wenu kuliko mchague mwingine kutoka nje?
Kama nani sasa from the current mpigs,senyetas, womenrapes mcachieths na chokosh gofanas?
 
Back
Top