Hata Pasta Wamejua Kagwe ni Vipindiree tupu

Ngimanene na Muchere

Elder Lister

Hii kitu, we the brave have been telling you from day 1, Kagwe ni vipindiree tu and public sanitizing for those eating, uliona mpaka CEO wa KEPSA alisema Kagwe aliongoza hio kirindi?

Will the fearful 😱 now be brave? Pasta amefunguka macho
Hii kitu ilichezwa hivi na Kagwe, alianza kupeana number za kutisha ili donor watoe pesa zaidi, ile wakati brave Kenyans walianza questioning them, akatokelezea na PR stunts zake but ile wakati NTV walitoa investigeshen akaona kamenuka donors wanazusha akaanza kusema cartels na akacheza chini and low and behold the numbers came down astronomicalmy mpaka wanataka kufungua economy baada ya kuona hakuna kitu ingine ya kuiba kwa corona
 
Last edited:
Fuak unyeeee ile kimonda kimuguruki sasa wanakula pamoja observing table manners, don't speak while eating
Wakati wa kupitisha BBI atarudi awaambie kitu kama hii, msahau mlikuwa mumekasirika mjitokeze hivi...

tenor (13).gif


FB_IMG_1588578723648.jpg
 
We told it's was
A scam from day one

But don't worry even rabbits offsprings born on the same day open their eyes in different times

Wengine tulifunguka macho kitambo

Look at the Clueless C's of education saying schools and colleges are closed but driving schools which fall in the category of restaurants are open

Learn to question not following blindly
 
We told it's was
A scam from day one

But don't worry even rabbits offsprings born on the same day open their eyes in different times

Wengine tulifunguka macho kitambo

Look at the Clueless C's of education saying schools and colleges are closed but driving schools which fall in the category of restaurants are open

Learn to question not following blindly
Doesn't even know when schools are opening, next month, next year. Mzazi gani anakohoa school abruptly hivyo
 
Back
Top