Watu wanatumia pastor Kanyari ma 10bobs...anasema anataka sana sana wale wa kutuma soo moja na soo mbwekse.
Kama unatuma 10bobs jina lako halitaandikwa kwa karatasi fulani anaandika hizo majina. Anataka alale akiomba kama anaguza guza hizo majina ameandika kwa cardboard
Kama unatuma 10bobs jina lako halitaandikwa kwa karatasi fulani anaandika hizo majina. Anataka alale akiomba kama anaguza guza hizo majina ameandika kwa cardboard