Ssabasajja
Elder Lister
Ni dawa ya kuku pia.Kwanza banning it in british colonies was an act of racism. Lakini bonobo hawezi kujifanyia research ajue kwa nini ni illegal yet literally inamea kama weed wezdan na nyanza.
Nilikuwa na shida ya ngozi nikiwa mdogo. One of my aunts aliingia mitini akarudi na bhangi fresh akanisugua ngozi nayo pamoja na matawi ya mapera. Hiyo shida hata sijui ilikuwa gani lakini haijawahi onekana tangu.