Deep sea arrested in Roysambu

Kwanza banning it in british colonies was an act of racism. Lakini bonobo hawezi kujifanyia research ajue kwa nini ni illegal yet literally inamea kama weed wezdan na nyanza.

Nilikuwa na shida ya ngozi nikiwa mdogo. One of my aunts aliingia mitini akarudi na bhangi fresh akanisugua ngozi nayo pamoja na matawi ya mapera. Hiyo shida hata sijui ilikuwa gani lakini haijawahi onekana tangu.
Ni dawa ya kuku pia.
 
Detectives have arrested one suspect in connection to the seizure of bhang worth millions of shillings in a vehicle that was intercepted along Nakuru-Nairobi Highway on 14th August 2020.
The suspect, Ruth Atieno Ouma, has been on the run after the arrest of her husband; Tom Ouma Aero was smoked out from her hideout within Roysambu in Nairobi and will appear in court tomorrow.
View attachment 21927
@Mongrel katete mrembo wako

hope you alerted @It's Me Scumbag
 
Kwanza banning it in british colonies was an act of racism. Lakini bonobo hawezi kujifanyia research ajue kwa nini ni illegal yet literally inamea kama weed wezdan na nyanza.

Nilikuwa na shida ya ngozi nikiwa mdogo. One of my aunts aliingia mitini akarudi na bhangi fresh akanisugua ngozi nayo pamoja na matawi ya mapera. Hiyo shida hata sijui ilikuwa gani lakini haijawahi onekana tangu.
Huyo aunty yako alikua anaivuta pia?
 
Back
Top