Kubwa sana. V8 ikikanyaga IED inageuka scrap metal na yule atakaye pona aokoke akuwe apostle. Hizi MRAP survivability is much higher with a good number of landmines/IEDs, unless ikanyage kitu kubwa kabisa. Even then people tend to survive.Other than kupita kwa matope, kuna tofauti ya Hii na V8?
Turudishie ile feature ya Jeshi tufurahie banaKubwa sana. V8 ikikanyaga IED inageuka scrap metal na yule atakaye pona aokoke akuwe apostle. Hizi MRAP survivability is much higher with a good number of landmines/IEDs, unless ikanyage kitu kubwa kabisa. Even then people tend to survive.
Unataka mjamaa akuwe court martialed juu ya kuleak top confidential secrets.Turudishie ile feature ya Jeshi tufurahie bana
HaweziUnataka mjamaa akuwe court martialed juu ya kuleak top confidential secrets.
Wacha ning'ang'ane niweke mojaTurudishie ile feature ya Jeshi tufurahie bana
Hehehe, mimi sio KDF. Arm chair special forces tuUnataka mjamaa akuwe court martialed juu ya kuleak top confidential secrets.
Senyetor fulani wa huko alizua vurugu hadi hiyo deal ikakuwa cancelled. Alitaka constituents wake wakule hiyo pesa na US Air Force walikuwa wamepea tenderpreneur direct tender bila kupitia bidding.@JazzMan zile air tractor mlinunua American zilifika ama pesa ilikulwo na akina Gathechas.
Nora B52 ziko area tangu kitambo. Wacha nitafute mbisha. Hata kuna feature ya either NTV ama Citizen wameonyesha ikiwa ZoomaliaAlfu unakumbuka kwa ile kijiji ingine uliweka mambo ya Nora B52. Leta uhondo pia. Na ile project ya MiL 28 iliendaje. Manze hii ufala ya embargo ya Putin inaharibu biashara sana...
Cobras kuna zingine ama ni zile tu za donation ya Jordan? You mean hakuna deal ilikuwa ya kubuy MiL28? Ilikuwa porojo tu? Shait! Na venye nimekuwa nategea kuziona zikifly the kenya flag...Nora B52 ziko area tangu kitambo. Wacha nitafute mbisha. Hata kuna feature ya either NTV ama Citizen wameonyesha ikiwa Zoomalia
Attack helo ni Cobras tu. Hakuna vile kenya watanunua Mi-28 mpya wakati transport plane zinafaa zipigwe retire.
Ni hizo donation tu. Zingine kununuliwa labda in a decade. Pesa yote imeenda kulipa loan ya kununua AW-139 helos na C-27j SpartanCobras kuna zingine ama ni zile tu za donation ya Jordan? You mean hakuna deal ilikuwa ya kubuy MiL28? Ilikuwa porojo tu? Shait! Na venye nimekuwa nategea kuziona zikifly the kenya flag...