Kumbe unaishi hapo waithaka karibu na father John njau?Jana usiku something happened ile Huwezi wish ipate hata adui yako,mzee alipatwa na risasi akiwa amelala
Hapana lakini najua hio catholic iko wapi, lete stori yoteKumbe unaishi hapo waithaka karibu na father John njau?
Najua anaitwa issack kamau wanjiru, ilikuwa exchange ya D- na mikora walikuwa wanaiba kwa huyo father, one kamau WANGUI alishikwa.Hapana lakini najua hio catholic iko wapi, lete stori yote
Tuheshimiane am kielewekeDigi kihìì post
unajua kimkora kilikuwa kimenda na robbery with violence na kilikuwa kiwe hanged lakini kiliachiliwa juzi na ni neighbour wa Huyo fatherNajua anaitwa issack kamau wanjiru, ilikuwa exchange ya D- na mikora walikuwa wanaiba kwa huyo father, one kamau WANGUI alishikwa.
WaBusheri wekelea story yote wacha udigi banaDigi kihìì post