When you work hard them loose everything

Old_Nomura

Lister
Its very sad what a lot of people go through.. Ni kama Kenya hakuna justice!!
I have lost a lot so I may understand them. May God restore these 2 women
Post is in kikuyu n captions r not working, to the non kikuyus


 

Old_Nomura

Lister
Kuna ingine ya rice miller wa Mwea that had people laughing their a***s off coz of the lies. Anyway wacha watu wawe satanized.
Hebu skia hiyo ya kwanza, that lady worked hard in her 20s akiwa nurse US but saa hii anakosa pa kulala.

Kuna siku I took a loan n started supplying small electronic gadjets like USBs, mem cards etc to UG,Burundi . Business grew lakini tuliconniwa na a business partner.
Siku ingine carjacked at gunpoint huko kimende..pesa ikaenda

Nikasave then borrowed again...tukafanya oil deal in Mozambique. Pesa ikadepositiwa in a bank in S.A, bank ikafreeze account .Kungangana na courts huko,lawyer fees ..Me and my partners gave up

Hii dunia huwa rough sometimes
 

Clemens

Elder Lister
Hebu skia hiyo ya kwanza, that lady worked hard in her 20s akiwa nurse US but saa hii anakosa pa kulala.

Kuna siku I took a loan n started supplying small electronic gadjets like USBs, mem cards etc to UG,Burundi . Business grew lakini tuliconniwa na a business partner.
Siku ingine carjacked at gunpoint huko kimende..pesa ikaenda

Nikasave then borrowed again...tukafanya oil deal in Mozambique. Pesa ikadepositiwa in a bank in S.A, bank ikafreeze account .Kungangana na courts huko,lawyer fees ..Me and my partners gave up

Hii dunia huwa rough sometimes
Too much bad luck for one person, Ama is it possible you are gullible?
 
Top