Shida ni mafala wa huko ocha, kwanza luo nyanza. Hao ndio watatuangusha kama hizo signature walipeana ni za ukwelilets hope time ya Referendum, watu watawachapa vile watu wanawachapa kwa social media.
kabsaa, we have to hope for the best.Shida ni mafala wa huko ocha, kwanza luo nyanza. Hao ndio watatuangusha kama hizo signature walipeana ni za ukweli
I would be most happy person to see the two with their tails between their legsUhuru alitaka Rao aingie kwanza ndio aweze jua Ground vile iko.
Uhunye alkua anakumbka vile alishambuliwa Twitter akajua huko hawezi enda.
kuckia kume nyamaza ikabidi aingie ajione vile kuko.
kumbe Rao naye alikua rada ya Uhunye akamngojea apo tu kwa mlango ndio waingie pamoja.
lets hope time ya Referendum, watu watawachapa vile watu wanawachapa kwa social media.