Ukiona chatu akivuka barabara simama kwanza apite.
Hii haitambui uko na gari gani ama umebeba tonne ngapi. Kuna kandere mmoja tulifanya nayeye kwa kampuni na alikua na experience ya miaka mingi.
Alinishow kuna siku alikua na container ya 40 feet ya spare parts za gari. Sasa alipoona hii kamba kwa barabara akaamua apite juu yake ili pia atimize maandiko ya bible yanavyosema. Shida ni miguu za mbele zilipoikanyanga tu kitu ilifura kama baloon na ikarusha gari juu karibu mita kumi na Juu ya ile speed alikua amekuja nayo gari lilipoguza chini lilibingirika ila kwa bahati mzuri driver hakuumia. Mzee Kuangalia kama yule mnyama ameangamia akamkosa, Kutupa macho mbele kwa kichaka aliona kitu inalalisha nyasi khandi ikiwa speed ya 110Kmph. Baada ya kws kuitwa walipata mnyama mwenyewe bila ata scratch moja ama injury.