Matatu Menace

Othello

Elder Lister
Although I agree there are way more private vehicles than matatus in the city, down town streets matatus ndio shida, kutoka kencom na ambassadeur, ni jam ya matatu tupu na matatu blocking roads. Kwanza intersection kama koja roundabout, matatu shida tupu. Ongeza price ya private vehicles coming to town and on street parking, then nyorosha matatu such that hakuna kuingia town kungoja watu. Pita moi avenue na tom mboya uone hundreds of matatu just waiting on the streets, wafikiwe wabebe. Hizo buildings zote za down town zile hazina tenants shida ni moja ,matatus blocking the streets
Hiyo ya kuflood downtown ni ukweli mat ni shida. Actually basi za githu ni ka hazinanga ata stage. But when it comes to the traffic kuingia na kutoka, shida ni izo privates.
I am waiting to see how for example someone from thika rd wants to commute to shags, probably nakuru na anahitaji nuclear services.
 

Ssabasajja

Elder Lister
Hiyo ya kuflood downtown ni ukweli mat ni shida. Actually basi za githu ni ka hazinanga ata stage. But when it comes to the traffic kuingia na kutoka, shida ni izo privates.
I am waiting to see how for example someone from thika rd wants to commute to shags, probably nakuru na anahitaji nuclear services.
Hizo za upcountry zinafaa zitoke tao kabisa. Mololine in nyamakima na kina nuclear and 4NTE zinaleta congestion sana.
 

shocks

Elder Lister
Hiyo ya kuflood downtown ni ukweli mat ni shida. Actually basi za githu ni ka hazinanga ata stage. But when it comes to the traffic kuingia na kutoka, shida ni izo privates.
I am waiting to see how for example someone from thika rd wants to commute to shags, probably nakuru na anahitaji nuclear services.
Matatu za thika road, kiambu, mwiki zimeharibu ronald ngala, race course road, temple street.... Hata being a pedestrian huko ni shida, yaani the only business ni ya matatu pekee
 

Luther12

Elder Lister
In some of those cities and countries that we like to quote with functional public transport, that public transport is either owned and run, or heavily subsidized by gov’t. Public transport should never be in the hands of private enterprise.
 
Top