Mananathi Ma Jino

Mwotofaya

Lister
those construction rebars i see used in many dingy nyama choma bases, washed once every year are they really safe to use on food or ndo inaongeza ladha ya nyama
 

Kdawg254

Elder Lister
This is how pizzas started having pineapples. Experimentation zingine zii
It’s an acquired taste I must say,lakini if you ever go to fogo gaucho ikifika wakati wa dessert itisha hii pineapple huwa wameweka cinnamon and sugar on top and it’s very nice!
 

mzeiya

Elder Lister
It’s an acquired taste I must say,lakini if you ever go to fogo gaucho ikifika wakati wa dessert itisha hii pineapple huwa wameweka cinnamon and sugar on top and it’s very nice!
I hear you but I'll never understand why people eat anything else apart from nyama at that place. Kwanza kuna vile huanzisha mtu na those salads. Can't be me 😂
 

Kdawg254

Elder Lister
I hear you but I'll never understand why people eat anything else apart from nyama at that place. Kwanza kuna vile huanzisha mtu na those salads. Can't be me 😂
Tuko pamoja hapo mimi hungoja waanze kuleta “exotic” meat ndio katambe.Kuna watu tulienda nao wakiletewa hadi roast chicken, sausage etc yani everyday meat wanachukua by the time they bring the exotic meat walikuwa out!
Lakini pia mboga kidogo juu ya roughage ni poa ;)
 
Top