Kwa upande wangu, naona Abramovich akisema Lukaku aje msimu wa 2022-2023. Sasa hivi ako kwa simu na Marina Granovskaia akimueleza afungue kibeti amwage kakitu, hata kama ni kufuliza, atarudishiwa.
shida itakua will he be playing wholeheartedly ama juu amewekwa kwa game?
maybe it's better he leaves and we get someone whos ready to commit himself to the team.