Placing the blame in wrong place as usual. Go to internet and check commodity trends for palm oil, different fertilizers, etc. Shipping and logistics have been up 30-40 pc since Covid and are only expected to start easing in June. etc.Chinese, IMF loans zinatupeleka mbio sana
Hii Alba kuna client alilipa rùmù! It's good, wack food thoughView attachment 54822
Opportunity have to be utilised. Ni wakati wa siasa
Leta experience. I haven't been there but I also hear ni mali safi sana. Maisha soft paleHii Alba kuna client alilipa rùmù! It's good, wack food though
Preaching in the wilderness you are Mwalimu...
kabisa classic itumbi change and dominate the conversation i.e kama sagana itafanyika hii wikiView attachment 54822
Opportunity have to be utilised. Ni wakati wa siasa
Media invited? Didn't he say they will engage the people directly because it's cheaper.View attachment 54822
Opportunity have to be utilised. Ni wakati wa siasa
There was a time a fertilizer company was to be set up in eldoret, was it ever achieved?Farm inputs
Lakini mambo kama hayo mtapanga saa ngapi mkiwa juu ya magari five years na mkipanga vile mtapinga kila mpango wa serikali ili muwe maarufu.High time African countries start being self reliance especially Food matters.
Unga ya ksh 90.00 !Cue the politricksters washukishe bei over the election period halafu mlipe quadruple baada ya kuwapigia kura.
An opportunity have to be milkedLakini mambo kama hayo mtapanga saa ngapi mkiwa juu ya magari five years na mkipanga vile mtapinga kila mpango wa serikali ili muwe maarufu.
Sasa nasikia press confer imeitishwa kutoa lawama na kushawishi serikali igharamie sehemu ya bei za mbolea. Pesa za hiyo gharama zitatoka wapi kama si wakenya wale wale ambao wanalia kufinywa. Unafiki utatuuwa.
Amerix akiona hii list he'll criticise it for having bread, sugar, maize flour, unga ya chapo and cooking oil.An opportunity have to be milkedView attachment 54844
Ndio wao na comparisons...ata kama zingine ni uwongo
Amerix anakaa kama Kenyan politicians....they do not live in Kenya.Amerix akiona hii list he'll criticise it for having bread, sugar, maize flour, unga ya chapo and cooking oil.