Pombe Magufuli, retaliates

Ubongo

Elder Lister
Tanzanian President John Magufuli has closed Kenyan-Tanzania border from Tanzanian side. Not even cargo trucks of food trucks will be allowed to cross the boarder. This is in retaliation to President Uhuru Kenyatta's decision yesterday.


President Magufuli says prayers worked as Covid19 cases r declining in Tanzania.
-colleges to reopen soon.
-some Countries closed borders due to ‘misinformation’.
-dismisses funeral ‘rules’ for those that die of virus.
-His child got Covid & recovered by isolating & using lemons

It's the high time we support our agriculture we become self food sufficient. Jamaa wanachuki Sana. Unfortunately, siasa iko in high gear
 
“Huwezi kuwa una mji wako halafu unapangiwa la kufanya, Mzee wetu wetu Kikwete alisema la kuambiwa changanya na lako, haiwezekani ukiambiwa jifungie,unajifungia chumbani wakati hauna chakula, tutaenda tunavyotaka, hili ni Taifa huru, Taifa linalojiamini, tumepambana na mengi” - and he's right on this
 
Magufuli: Ugonjwa huu wa corona ni vita kama vita nyingine, wakati unaanza nilisema siwezi kuruhusu lockdown, imagine unafungiwa ndani hupati hata nafasi ya kuonana na Mkeo? unafungiwa ndani eti usitembee usiku kana kwamba corona inatembea usiku tu, nikasema hapana.
He is longing for herd immunity. Time will tell
 
“Huwezi kuwa una mji wako halafu unapangiwa la kufanya, Mzee wetu wetu Kikwete alisema la kuambiwa changanya na lako, haiwezekani ukiambiwa jifungie,unajifungia chumbani wakati hauna chakula, tutaenda tunavyotaka, hili ni Taifa huru, Taifa linalojiamini, tumepambana na mengi” - and he's right on this
Anadharau akina Kenyatta na akina Rao sana, juzi alipea Baba career ending tackle hehehe
 
This here sounds like wisdom but time will tell
“Tanzania hakuna cha lockdown, wala Baba yake lockdown, wala Ndugu yake lockdown, tunaendelea kuchapa kazi wakimaliza kujilock huko watakuja tutawasaidia chakula, na tusiwabague, ndani ya Afrika Mashariki na SADC tuko pamoja lakini kila Mtu ana njia zake za kutatua tatizo”
JPM
 
This here sounds like wisdom but time will tell
“Tanzania hakuna cha lockdown, wala Baba yake lockdown, wala Ndugu yake lockdown, tunaendelea kuchapa kazi wakimaliza kujilock huko watakuja tutawasaidia chakula, na tusiwabague, ndani ya Afrika Mashariki na SADC tuko pamoja lakini kila Mtu ana njia zake za kutatua tatizo”
JPM
so you think what this idiot is doing is right?
 
This here sounds like wisdom but time will tell
“Tanzania hakuna cha lockdown, wala Baba yake lockdown, wala Ndugu yake lockdown, tunaendelea kuchapa kazi wakimaliza kujilock huko watakuja tutawasaidia chakula, na tusiwabague, ndani ya Afrika Mashariki na SADC tuko pamoja lakini kila Mtu ana njia zake za kutatua tatizo”
JPM
but why did he run and hide in his village?
 
You know there are things you can't hide no matter how media can be censored. Within months tutaona. So far, 2 months are gone.
 
Back
Top