Huko ocha kuna manyumba za kifahari wenyewe waliziacha after kunyoroshwa na majini.The ones that were close to road used to cause unusual accidents
Wapi huko?
Huko ocha kuna manyumba za kifahari wenyewe waliziacha after kunyoroshwa na majini.The ones that were close to road used to cause unusual accidents
Theres one in particular hapo manguo swamp.Limuru.The strech where pastor nganga has killed 2 pple.Wapi huko?
Ubaya niko tao.Kuna mama mwingine alikua na mabati rentals besides her main house.Hakuna mtu alikua anamaliza 2 months hapo.watoi wake walishahepa kitambo.Ile duru huyo mama alikua anapiga usiku bana.Na masauti za glasses na masahani zikianguka.The last time i saw her ni hapo stage ya limuru khoja clad in white akitishia watu ati gari haitapita sijui wapi kama haijapata accident.My aunt once lived there alikua ananisho huwanga zina mdryfry.Dont know how true that isFascinating...
Could you share some pics about them, or their location please?
HekayaUbaya niko tao.Kuna mama mwingine alikua na mabati rentals besides her main house.Hakuna mtu alikua anamaliza 2 months hapo.watoi wake walishahepa kitambo.Ile duru huyo mama alikua anapiga usiku bana.Na masauti za glasses na masahani zikianguka.The last time i saw her ni hapo stage ya limuru khoja clad in white akitishia watu ati gari haitapita sijui wapi kama haijapata accident.My aunt once lived there alikua ananisho huwanga zina mdryfry.Dont know how true that is
napitanga hapo sana al mk sure i check it outThere is a flat Njiru going to Ruai just before Njiru bridge on the left has never been occupied, watu hutumia hio barabara najua wanajua hio building.
Ati they only dwyfy the ownerHekaya
Huko ocha kuna manyumba za kifahari wenyewe waliziacha after kunyoroshwa na majini.The ones that were close to road used to cause unusual accidents
Nimesema hapo juu.Labda ata sio kupenda kwa pastor ngangwapi huko ?
Ogiek, then it is not abandoned.Its not used but they maintain and keep it clean
Kuna nyumba nilikuwa naishi, siku moja nikajipata na jaribu kusonga kwa bed nikaskia Kuna block soft sana, nikaskuma nikaskia mtu ananishow nisimskume, nikaamka mbio kuwasha stima nikaona Hakuna mtu si kulala tena. Keshoye nikahama.
Afterwards kulizia nikaskia during tribal clashes za 1997 after watu kufurishwa kwa mashamba yao Wali ingia kwa hiyo nyumba kama haijamalizwa kujengwa(2 floors) landlord alikuja akawafukuza violently wakaplead hawana pa kuenda aje after 2 months or so yeye akakata a. Alitafuta hang wakafukuzwa Na Kuna wenye walikuwa.
Kidogo tu nikaskia msee akiniambia yangu ni kionjo ulikuwa unaenda choo usiku unapata watu wakifa nguo usiku.
*don't believe everything you hear
*accept Jesus as your personal saviour
*stop fornication and committing adultery
*stop treating this disease normally it will treat you abnormally
*Abba wacha visieno
Hii ni kali, wewe haukuona midgets swimming![]()
The tales ranged from a naked midget running around the compost pit area dancing to cats cleaning up the junior students' hostels while they slept.
Mzee I've given my take do your research ulete story.Leo ni story za giants and other tales, eeeeeh? Kwani mmekunywa pombe imewekwa mkojo ya punda?
Hizi vitu ni za ukweli, kuna alikuwa anasema that he witnessed kuna watu hupika chakula wanaweka kwa nyumba zao on the floor na hafungi mlango wa nyumba. Usiku aliona chatu ameingia kwa nyumba akakula chakula alafu akaenda kwa bedroom, opened a drawer na ikatapika pesa ikajaa kwa drawer. (I cannot authenticate this lakini) there are people who have sacrificed family for money, wako na nyumba kadhaa that nobody lives in.Leo ni story za giants and other tales, eeeeeh? Kwani mmekunywa pombe imewekwa mkojo ya punda?