... kurushia hii kikombe mikono. Anyway, inaeleweka when 10 players are unavailable through either injury or Covid. Anyway, KTBFFH
View attachment 50375
Tayari washafeli. Wamewekewa shimo kwa midfield na hawaitumii hata kidogoBrentford kichwa
Hao watu wa marabou stork kwa logo wamefungwa ngapi?Vardy anamalisa Liverpool
He he...ndio nimeona wametembezwa kama stolen bike.Vardy anamalisa Liverpool
Juma Bekavu alienda wapi?
Mbili but naona wamekomboa mojaHao watu wa marabou stork kwa logo wamefungwa ngapi?
Washafungwa. 3-1 Leista.Mbili but naona wamekomboa moja
Washafungwa. 3-1 Leista.
Marabou stork inakaangwa kabla ya krismasiWashafungwa. 3-1 Leista.
Halafu inakarangiwa kwao na mafuta yao,na pan yao....Marabou stork inakaangwa kabla ya krismasi
You think @Meria would pin this? Kaí úgúrúkaga?
Aih, the blip isn't that extreme. Maybe premier league ndio wataumia kiasiChelsea might just miss anything and everything.