Kibicho & Matiangi are drunk with power

Shoe on the other foot syndrome. Ile siku walikuwa wanahangaisha Ajos sijui ulikuwa wapi kuona hii power drunkenness.
 
Kwani Huyo god ni nini anafanya saa hii kama ndio ako side ya waja wake?
Naona Tangatanga minions jana yote hawakuuza sera kazi ilikuwa Kunung'unika na kutukanana juu ya Mama Ngilu na Kibicho.
 
Well said mr. PS. Tear gas will fly. Ona mahota kamùici kau karahenia andù kanengererio mbembe rī, nie nongacokia ngatho

And on the same issue, why was itumbi tagging US govt officials and ambassador? Because Kibicho will uae teargas?

He he...snitch reporting to teacher!
 
Back
Top