This is Guka - Nimekuwa Laughing Stork..

The begging culture has become deeply ingrained in our national psyche, I tranverse several counties each month and a common denominator in all places is the begging by
Able bodied men especially in entertainment spots, Why should you leave your domicile to go and beg a total stranger drinking his poison of choice? Kama huna kitu have some little pride na ukae Kwa nyumba and watch Maria. "Buda boss Niko na 150 si uniongezee 100 nishike quarter of sijui chrome, KC or other second generation shit?" Ni kazi gani umenifanyia so that I reward you?
Silly bonobos.
In the village kwanza watu husumbua sana.
 
Hehehe hapana, si kuwadharau mkubwa, but how do you beg alcohol from a total stranger?
Nikikosa Mimi hutulia Kwa nyumba, siwezi enda kusumbua watu, we are losing our pride as men, tumekuwa kama wanawake kuombaomba.
Ile mbaya kabisa ni mwanaume ako shughuli zake swinging nyes halafu anaingia bar akikuona anataka akule na kunywa kwa bill yako. I have never understood this shit. kwani ulikuwa unakuja bar kufanya nini? Kama hungenipata ungekunywa nini? upuss.
 
Ile mbaya kabisa ni mwanaume ako shughuli zake swinging nyes halafu anaingia bar akikuona anataka akule na kunywa kwa bill yako. I have never understood this shit. kwani ulikuwa unakuja bar kufanya nini? Kama hungenipata ungekunywa nini? upuss.
Hii uniudhi, Mimi huwaambia fanya vile ungefanya kama hungenipata.
 
Najua nani alipika hio Ngimanene
Vaa mask nani
IMG_20201224_080328.jpg
 
Back
Top