Hapa kiboko ingefunza hawa watalii adabu..
Nilisomea District Educational Board mahali ukijipata umeongea lugha ya mama, unavalishwa jaw ya mbuzi kwa shingoKijana kwani ulisomea academy?
Aaaaaaaaah
The saddest bit is that hufunziki,hufundikishi...Aaaaaaaaah![]()
![]()
![]()
Mtu hukosea bila kutaka. Nimeelimika sasaThe saddest bit is that hufunziki,hufundikishi...
Ata wewe hufundikishi ni nini?The saddest bit is that hufunziki,hufundikishi...
Ata wewe hufundikishi ni nini?
Hapa kiboko ingefunza hawa watalii adabu..
Kiboko.... hippo
Kifaru .... rhino
Kindly visit Nairobi national park or nearest park .
The police land cruiser looks intact while the PSV looks...shouldn't the PSV also be unbondekable?
@Meria huyo dere wa mat amefika Bukavu ama bado?
@Meria huyo dere wa mat amefika Bukavu ama bado?
Hapa kiboko ingefunza hawa watalii adabu..