Ukisahau kitu moja ya muhimu huko misriNmekua nkifikiria kwani huku kenyan list hakuna wasichana. Sijaona hata mmoja.
Mwambie aongee visuri na Guka
Kuna ubaya yoyoteiko mmoja anajiita @Aviator lakini chunga sana
Haya ! Kwani Guka anawaza kurusha through pass ?
Anyway NV peleka shuguri misri na uchunge crocodile